Tuesday, May 29, 2012

RAIS WA ZANZIBAR AKUTANA NA UONGOZI WIZARA YA MIUNDOMBINU NA MAWASILIANO MJINI ZANZIBAR

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein,akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Miundombinu na Mawasiliano, katika utekelezaji wa mpango wa kazi za Ofisi za Wizara hiyo  Ikulu Mjini Zanzibar jana. Picha na Ramadhan Othman, IKULU

No comments:

Post a Comment