Monday, June 4, 2012

WASHINDI WA TUZO KILI MUSIC AWARADS 2012 WAHITIMISHA ZIARA YAO JIJINI DAR.

Isha Mashauzi a.k.a Jike la Simba akiwajibika kwa steji.


Kwenye moja na mbili alisababisha mtu mzima DJ AD a.k.a MAFUVU kutoka EATV na Radio
Umati wa Wakazi wa jiji la Dar es Salaam wakishangweka katika viwanja vya Posta Kijitonyama mwishoni mwa wiki.


No comments:

Post a Comment