Wednesday, May 23, 2012

Salaam Za Shukrani


Familia ya marehemu MZEE ABDALLAH MOHAMMED ( MACHECHE) ,
wanapenda kutoa shukrani za dhati kwa mchango wenu mkubwa mlio 
uonyesha wakati maazishi katika shughuli nzima za kumpumnzisha 
mtoto wetu mpendwa" MOHAMMED ABDALLAH (BACHECHE)"

Tunapenda kuwaarifu kwenye shughuli ya AROBAINI ya mtoto wetu itakayofanyika nyumbani kwao kwa Marehemu MZEE ABDALLAH 
MOHAMMED (MACHECHE) Makumbusho / kijitonyama,karibu na shule ya msingi makumbusho. Tarehe 26/05/2012, Kuanzia saa saba mchana baada ya sala ya adhuhuri

MUNGUAZILAZE ROHO ZAO MAHALI PEMA PEPONI”  ‘ameen’

No comments:

Post a Comment