Wednesday, May 23, 2012

Airtel Sasa Yaja na Viwango Vipya na Nafuu Vya Kupiga Simu Kwa Wateja Wake Wakiwa Zanzibar


Meneja uhusiano wa Airtel Tanzania Jackson Mmbando akifafanua jambo kwawaandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa viwango vipya nafuu vya mawasliano kwa wateja wa Airtel walioko zanziba (unguja na Pemba) ofa hiyo itajulikana kama Airtel Nusu shilingi na itawawezesha wateja wa Airtel kuongea kwa Gharama nafuu kuanzia saa 12 asubuhi hadi saa 4 usiku kwa NUSU shilingi tu kwa sekunde , na kuanzia saa 4 usiku hadi 11.59 asubuhi ni ROBO shilingi tu kwa sekunde Airtel-Airtel Pia wateja watafaidika na kupata huduma ya Internet bure usiku, wapili kushoto ni Meneja Mauzo wa Airtel kanda ya Pwani Bi Aminata Keita.
Wakwanza kushoto ni meneja Mauzo wa Airtel Zanzibar Hagai Samson na Meneja uhusiano wa Airtel Tanzania Jackson Mmbando wakifafanua jambo kwawaandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa viwango vipya nafuu vya mawasliano kwa wateja wa Airtel walioko zanziba (unguja na Pemba) ofa hiyo itajulikana kama Airtel Nusu shilingi na itawawezesha wateja wa Airtel kuongea kwa Gharama nafuu kuanzia saa 12 asubuhi hadi saa 4 usiku kwa NUSU shilingi tu kwa sekunde , na kuanzia saa 4 usiku hadi 11.59 asubuhi ni ROBO shilingi tu kwa sekunde Airtel-Airtel Pia wateja watafaidika na kupata huduma ya Internet bure usiku, wakwanza kushoto ni Meneja Mauzo wa Airtel kanda ya Pwani Bi Aminata Keita


No comments:

Post a Comment