Tuesday, July 3, 2012

WANAHARAKATI WA VYUO VYA ELIMU YA JUU NCHINI WAPINGA MGOMO WA MADAKTARI NCHINI,WAMUOMBEA MWENYEKITI WA JUMUIYA YA MADAKTARI NCHINI DK STEVEN ULIMBOKA APONE HARAKA

 Kundi la wanaharakati kutoka vyuo vya elimu ya juu nchini, wakiwa na mabango jana katika hospitali ya taifa, Muhimbili, Dar es Salaam, kushinikiza madaktari waache mgomo
Kiongozi wa wanaharakati kutoka vyuo vya elimu ya Juu, Abubakar Assenga akizungumza na waandishi wa habari baada ya maandamano yao kufika Muhimbili kushinikiza madaktari kuacha mgomo.

No comments:

Post a Comment